• HABARI MPYA

    Friday, October 03, 2014

    DIAMOND ASHEREHEKEA KUZALIWA KWAKE KWA KUNUNUA BMW X6 JIPYAAAAA!

    Mwanamuziki Nassib Abdul 'Diamond Platinums' usiku huu amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kununua gari jipya aina ya BMW X6. Diamond amelizindua gari hilo katika sherehe ya kuzaliwa kwake usiku huu kwenye jengo la Golden Jubilee, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
    Gari jipya la Diamond likiwa nje ya jengo la Golden Jubilee. Thamani ya gari hili si chini ya Sh. Milioni 150
    Wadau mbalimbali waliohudhuria pati ya kuzaliwa Diamond 
    Diamond aliingia ukumbini akitokea Uwanja wa Ndege baada ha kuwasili kutoka Marekani
    Diamond akizungumza na mpenzi wake Wema Sepetu anayeongozana na mama mzazi wa mwanamuziki huyo kulia 
    Wema ambaye ni Miss Tanzania wa mwaka 2006 na mwigizaji nyota nchini kulia, hapa anampamba mumewe mtarajiwa wakiwa kwenye lifiti kuelekea ghorofa ya tano ilipofanyika pati

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIAMOND ASHEREHEKEA KUZALIWA KWAKE KWA KUNUNUA BMW X6 JIPYAAAAA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top