• HABARI MPYA

    Wednesday, June 04, 2014

    LIVERPOOL YAFIKA BEI KWA BONGE LA MIDO

    KLABU ya Liverpool inajiandaa kumsajili Emre Can kutoka Bayer Leverkusen baada ya kuwa tayari kutoa dau la Pauni Milioni 9.75 ambalo ndilo thamani ya mkataba wake.
    Kocha Brendan Rodgers amekuwa akimfukuzia mcheaji huyo wa timu ya vijana ya Ujerumani chini ya umri wa miaka 21 kwa muds mrefu na sasa yuko tayari kumchukua. 
    Kiungo huyo mtaalamu wa kusambaza mipira kutokea eneo la katikati ya Uwanja mwenye umri wa miaka 20 anaweza kuwaongezea ubora Wekundu hao wa Anfield akisajiliwa. 
    Yuko njiani: Liverpool inajiandaa kumsajili kiungo Bayer Leverkusen, Emre Can baada ya kufika bei
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAFIKA BEI KWA BONGE LA MIDO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top