• HABARI MPYA

    Wednesday, June 18, 2014

    PELE ALIWAHI KUKOSA BAO KAMA NEYMAR, KUMBUKUMBU HII HAPA...

    KIPA wa Mexico, Guillermo Ochoa jana aliokoa mabao kadhaa ya wazi na kuinyima Brazil ushindi ikilazmishwa sare ya 0-0 katika mchezo wa pili wa Kundi A uliopigwa Uwanja wa Castelao, Kombe la Dunia mwaka huu.
    Hiyo imewakumbusha mbali kidogo Wabrazil, kuna mchomo mmoja kipa huyo aliokoa unakaribia kufanana na wa gwiji wa zamani wa nchi hiyo enzi hizo, Pele uliookolewa na Gordon Banks.
    Fananisha na hii: Baadhi ya watu wanafananisha mchomo wa Neymar uliookolewa na Ochoa jana sawa na huu wa Pele ambao Gordon Banks anaokoa hapa
    Saving the day: Mexico goalkeeper  Ochoa keeps the ball out, Banks style, as Brazil come close
    Ochoa akipangua mpira wa Neymar ambao ulikuwa unaelekea nyavuni
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PELE ALIWAHI KUKOSA BAO KAMA NEYMAR, KUMBUKUMBU HII HAPA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top