Los Ticos: Wachezaji wa Costa Rica wakimpongeza mwenzao, Bryan Ruis baada ya kufunga bao la kuongoza katika sare ya 1-1 na Ugiriki Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora. Costa Rica imeenda Robo Fainali kwa ushindi wa penalti 5-3 baada ya sare hiyo ndani ya dakika 120 na sasa itamenyana na Uholanzi, ambayo mapema iliitoa Mexico kwa kuifunga mabao 2-1.
Ajadi hails Arowosaye’s appointment as Pacesetter Minerals Chairman
-
By Seyi Babalola The Oyo Central Senatorial candidate under the banner of
Team Seyi Makinde, Ambassador Olufemi Ajadi Oguntoyinbo, has congratulated
Hon....
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment