Los Ticos: Wachezaji wa Costa Rica wakimpongeza mwenzao, Bryan Ruis baada ya kufunga bao la kuongoza katika sare ya 1-1 na Ugiriki Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora. Costa Rica imeenda Robo Fainali kwa ushindi wa penalti 5-3 baada ya sare hiyo ndani ya dakika 120 na sasa itamenyana na Uholanzi, ambayo mapema iliitoa Mexico kwa kuifunga mabao 2-1.
Buddy Franklin breaks his silence on wild rumour that he has been wearing a
wig
-
AFL legend Lance 'Buddy' Franklin has just made a big career move by
starting a podcast with an old teammate - and he has used the platform to
speak out ab...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment