Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment