Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Michael Owen claims Arsenal star should be 'SCREAMING' at his team-mate in
the dressing room after costly error in 2-2 draw with Crystal Palace
-
Michael Owen believes an Arsenal star should be calling his team-mate out
in the dressing room after the Gunners were held to a 2-2 draw by Crystal
Palace ...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment