Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Ben Stiller and Larry David lead anti-Trump celebrities at MSG for Knicks
vs Spurs as Timothee Chalamet arrives without girlfriend Kylie Jenner
-
Not to be outdone by Donald Trump, the celebrity Knicks fans were out in
force for one of the most anticipated nights of sports in the history of
New York.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment