Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
Report: Andrej Stojaković Linked to UNC, Kentucky in Transfer Portal; Son
of Peja
-
Some of the best men's college basketball programs in the country are
interested in Andrej Stojaković. ESPN's Jeff Borzello reported Wednesday
that the gua...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment