Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
Kai's MAGA makeover: Trump's granddaughter stuns with mature new look as
she laughs off her grandfather's haters at Knicks game
-
Her new layered 'Palm Beach blonde' hair is synonymous with MAGA, and
follows in the footsteps of the likes of Melania Trump , Karoline Leavitt -
and even ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment