Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
49ers coach Kyle Shanahan involved in horrific offseason car crash that
left him with a broken nose, ribs and hand
-
San Francisco 49ers head coach Kyle Shanahan was involved in a terrifying
offseason car crash that left him with multiple injuries.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment