Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
Ben Stiller and Larry David lead anti-Trump celebrities at MSG for Knicks
vs Spurs as Timothee Chalamet arrives without girlfriend Kylie Jenner
-
Not to be outdone by Donald Trump, the celebrity Knicks fans were out in
force for one of the most anticipated nights of sports in the history of
New York.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment