• HABARI MPYA

    Thursday, June 26, 2014

    USWISI YATINGA 16 BORA, KUMENYANA NA ARGENTINA

    Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: USWISI YATINGA 16 BORA, KUMENYANA NA ARGENTINA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top