Haina shangwe: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiondoka baada ya kuifungia Ureno bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ghana, mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Boye, wakati bao la Ghana lilifungwa na Akwasi Appiah. Ureno na Ghana zote zimetolewa, wakati Ujerumani na Marekani zimetinga 16 Bora kutoka kundi hilo.
Reggie Bush is REINSTATED as 2005 Heisman Trophy winner, with organizers
citing NIL rule changes two decades after he accepted money and gifts at USC
-
Reggie Bush was reinstated as the 2005 Heisman Trophy winner on Wednesday,
as the award's organizers cited fundamental changes in the structure of
college ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment