Haina shangwe: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiondoka baada ya kuifungia Ureno bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ghana, mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Boye, wakati bao la Ghana lilifungwa na Akwasi Appiah. Ureno na Ghana zote zimetolewa, wakati Ujerumani na Marekani zimetinga 16 Bora kutoka kundi hilo.
Ben Stiller and Larry David lead anti-Trump celebrities at MSG for Knicks
vs Spurs as Timothee Chalamet arrives without girlfriend Kylie Jenner
-
Not to be outdone by Donald Trump, the celebrity Knicks fans were out in
force for one of the most anticipated nights of sports in the history of
New York.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment