Haina shangwe: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiondoka baada ya kuifungia Ureno bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ghana, mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Boye, wakati bao la Ghana lilifungwa na Akwasi Appiah. Ureno na Ghana zote zimetolewa, wakati Ujerumani na Marekani zimetinga 16 Bora kutoka kundi hilo.
Rangers' Gerard Gallant Calls Out Hurricanes' 'Bulls--t' at End of Game 3
-
The New York Rangers got on the board in their second-round playoff series
against the Carolina Hurricanes with a 3-1 victory in Sunday's Game 3, but
New Y...
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni