Matokeo ya awali ambayo BIN ZUBEIRY imeyapata kutoka chumba cha kuhesabia kura ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, Evans Elieza Aveva ameshinda Urais kwa kupata kura 1452 kati ya 1845 zillizopigwa, mpinzani wake Andrew Tupa akipata kura 387 wakati kura sita zimeharibika. Hata hivyo, matokeo rasmi ya uchaguzi huo yatatangazwa na Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti Dk Damas Ndumbaro baadaye.
Votes for sale
-
The sun was beginning to set that particular day. As the erstwhile, blazing
hot and harsh sun that illuminated the day earlier, it was snailisly but
stea...
0 comments:
Post a Comment