Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
PLAY TEAMSHEET: Can YOU name the Everton team that drew 3-3 with Chelsea in
1995? Or pick YOUR team and guess their starting XI
-
Every day we'll challenge you to name a different starting XI from the
Premier League era. We'll give you a team's rough formation, and the number
of lette...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment