Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
Ben Stiller and Larry David lead anti-Trump celebrities at MSG for Knicks
vs Spurs as Timothee Chalamet arrives without girlfriend Kylie Jenner
-
Not to be outdone by Donald Trump, the celebrity Knicks fans were out in
force for one of the most anticipated nights of sports in the history of
New York.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment