Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
49ers coach Kyle Shanahan involved in horrific offseason car crash that
left him with a broken nose, ribs and hand
-
San Francisco 49ers head coach Kyle Shanahan was involved in a terrifying
offseason car crash that left him with multiple injuries.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment