Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
Kai's MAGA makeover: Trump's granddaughter stuns with mature new look as
she laughs off her grandfather's haters at Knicks game
-
Her new layered 'Palm Beach blonde' hair is synonymous with MAGA, and
follows in the footsteps of the likes of Melania Trump , Karoline Leavitt -
and even ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment