OMOG ATUA DAR KUANZA KUISUKA AZAM FC MPYA TISHIO ZAIDI MSIMU UJAO
Kocha Mkuu wa Azam FC, Mcameroon Joseph Marius Omog akiwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JKN), Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuanza kuiandaa timu yake kwa mashindano ya msimu ujao. Azam wataanza kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Agosti mwaka huu wakati mapema mwakani watashiriki Ligi Mbingwa Afrika.
Faninfos für das U19-Pokalfinale in Potsdam
-
Am Freitag (20. Mai) spielt die U19 des BVB im DFB-Pokalfinale der Junioren
gegen den Nachwuchs des VfB Stuttgart. Das Spiel wird um 18 Uhr im
Babelsberger...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni