• HABARI MPYA

    Wednesday, June 18, 2014

    URUSI NA KOREA KUSINI ZATOKA 1-1


    Lifti hewani: Alexander Samedov wa Urusi akienda hewani baada ya kukwatuliwa na kiungo wa Korea Kusini, Ki Sung-Yeung katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Culaba usiku wa kuamkia leo. Timu hizo zilitoka 1-1 bao la Urusi likifungwa na Aleksnadr Kerzhakov na la Korea kipa Igor Akinfeev aliupangulia mwenyewe ndani mpira uliopigwa na Lee Keun-Ho.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: URUSI NA KOREA KUSINI ZATOKA 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top