Lifti hewani: Alexander Samedov wa Urusi akienda hewani baada ya kukwatuliwa na kiungo wa Korea Kusini, Ki Sung-Yeung katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Culaba usiku wa kuamkia leo. Timu hizo zilitoka 1-1 bao la Urusi likifungwa na Aleksnadr Kerzhakov na la Korea kipa Igor Akinfeev aliupangulia mwenyewe ndani mpira uliopigwa na Lee Keun-Ho.
Anisimova plots Wimbledon sequel with happier ending
-
Many wondered how long it would take Amanda Anisimova to recover from last
year's Wimbledon final. About six weeks was the answer.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment