Lifti hewani: Alexander Samedov wa Urusi akienda hewani baada ya kukwatuliwa na kiungo wa Korea Kusini, Ki Sung-Yeung katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Culaba usiku wa kuamkia leo. Timu hizo zilitoka 1-1 bao la Urusi likifungwa na Aleksnadr Kerzhakov na la Korea kipa Igor Akinfeev aliupangulia mwenyewe ndani mpira uliopigwa na Lee Keun-Ho.
Hire, fire, final - Chelsea's player power may be ugly, but it wins
-
Chelsea are in another FA Cup final - but only after their players showed
up in a way they were no longer doing for Liam Rosenior, writes Phil
McNulty.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment