Lifti hewani: Alexander Samedov wa Urusi akienda hewani baada ya kukwatuliwa na kiungo wa Korea Kusini, Ki Sung-Yeung katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Culaba usiku wa kuamkia leo. Timu hizo zilitoka 1-1 bao la Urusi likifungwa na Aleksnadr Kerzhakov na la Korea kipa Igor Akinfeev aliupangulia mwenyewe ndani mpira uliopigwa na Lee Keun-Ho.
UFC icon Poirier accepts he needs help after arrest
-
Dustin Poirier has said he is "at the point where I need some help" after
being arrested for alleged public drunkenness.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment