• HABARI MPYA

    Thursday, June 26, 2014

    MAXIMO NDANI YA DAR, YANGA RAHA TUPU

    Kocha mpya wa Yanga SC, Mbrazil Marcio Maximo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mchana wa leo tayari kuanza kazi.
    Maximo akizungumza na Waandishi wa Habari
    Maximo akisindikizwa na askari Polisi baada ya kuwasili
    Safari Jangwani; Maximo akiwa kwenye gari safarini kuelekea makao makuu ya klabu hiyo, Jangwani 
    Mashabiki wa Yanga wakifurahia na Maximo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAXIMO NDANI YA DAR, YANGA RAHA TUPU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top