KLABU ya Chelsea itamenyana na FC Basle katika Nusu Fainali ya Europa League tena wakimalizia nyumbani mechi ya marudiano kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
Watasafiri hadi Uswisi Aprili 25 kabla ya kuwakaribisha wapinzani wao London Mei 2.
The Blues haijawahi kucheza na Basle kabla historia katika maka 108 ya kuwepo kwap. Timu ya Uswisi iliitoa Tottenham kwa penalti jana katika Robo Fainali.
Nusu Fainali nyingine itakuwa kati ya Benfica ya Ureno na Fenerhbahce ya Uturuki.
Wanakwenda Uswisi: Chelsea itamenyana na FC Basel
NUSU FAINALI
Fenerbahce v Benfica
Basle v Chelsea
Katibu wa Chelsea, David Barnard amesema kwamba Basle ndio timu waliotaka kukutana nayo katika Nusu.
He told Sky Sports News: