• HABARI MPYA

    Saturday, April 20, 2013

    MAMBO YALIVYOKUWA AZAM NA FAR RABAT TAIFA LEO, KIPRE TCHETCHE NI BALAA!

    Kiungo wa FAR Rabat ya Morocco, Mohammed El Bakalli akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Azam FC, Kipre Balou katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Tatu, Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.

    Khamis Mcha 'Vialli' kulia akimtoka beki wa FAR Rabat

    Beki wa Azam FC, Waziri Salum akipanda kusaidia mashambulizi

    Waziri Salum akimgeuza mchezaji wa FAR Rabat

    Hatari kwenye lango la FAR Rabat

    John Bocco akiwatoka mabeki wa FAR Rabat

    John Bocco anakwenda na mpira...  

    Mashabiki wa Azam wakishangilia timu yao bila kuchoka

    Kipre Tchetche akimtoka beki wa FAR Rabat

    Khamis Mcha 'Vialli' akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa FAR Rabat

    Kiungo wa Azam Salum Abubakar akipasua

    Kikosi cha FAR Rabat leo

    John Bocco akimuinua Kipre Tchetche baada ya kugongeasha mwamba dakika ya 90 na ushei

    Kikosi cha Azam FC leo

    Kipre Tchetche akisikitika baada ya kukosa bao la wazi

    Gaudence Mwaikimba akiwania mpira dhidi ya beki wa FAR Rabat

    Kipa Ali Grouni wa FAR Rabat akipangua mpira ya John Bocco

    Kipre kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa FAR Rabat

    Kipre Tchetche kulia akimiliki mpira pembeni ya beki wa FAR Rabat

    Waziri Salum na mchezaji wa FAR Rabat....

    Beki wa FAR Rabat akiondosha mpira mbele ya Kipre Tchetche

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAMBO YALIVYOKUWA AZAM NA FAR RABAT TAIFA LEO, KIPRE TCHETCHE NI BALAA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top