Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment