Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kulazimishwa sare ya 0-0 na wenyeji, Athletic Bilbao usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao kwenye mchezo wa La Liga. Pamoja na sare hiyo, Barcelona inafikisha pointi 51 katika mechi ya 23 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi sita zaidi ya Real Madrid wanaofuatia katika nafasi ya pili mbele ya Atletico Madrid wenye pointi 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford cannot be painted as an innocent victim when he is looking
like the brash £315k-a-week footballer we hoped he wasn't... now selling
him IS an option of Man United
-
CHRIS WHEELER: It's a bitter irony that a week in which United celebrated
their 250th homegrown player making his debut is ending with the poster boy
for t...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment