Wachezaji wa Chelsea FC wakimpongeza mwenzao, N'Golo Kante baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 34 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire. Mabao mengine ya timu ya Maurizio Sarri yamefungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 45 baada ya Marcos Alonso kuangushwa kwenye boksi na la tatu Pedro dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Taylor Swift approves of the Chiefs picking Xavier Worthy
as Travis Kelce's girlfriend likes a video of Kansas City's new star being
selected
-
The pop sensation - and Travis Kelce 's girlfriend - has become an avid
Chiefs fan in recent months thanks to her high-profile relationship with
the Super ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment