Kocha Manuel Pellegrini wa Manchester City, akiwapungia mkono kuwaaga mashabiki wa timu hiyo baada ya kuiongioza kwa mara ya mwisho ikitoa sare ya 1-1 na Swansea City Uwanja wa Liberty. Bao la City limefungwa na Kelechi Iheanacho wa Nigeria wakati la Swansea limefungwa na Andre Ayew wa Ghana.
Pellegrini anaondoka Manchester City na nafasi yake inachukuliwa na Pep Guardiola PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pellegrini anaondoka Manchester City na nafasi yake inachukuliwa na Pep Guardiola PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment