RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akipokea Kombe la Dunia la FIFA jana Jijini Dar es Salaam kuelekea Fainali za baadaye mwaka huu nchini Qatar.
Mama Samia anakuwa Rais wa pili wa Tanzania kupokea Kombe la Dunia baada ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Novemba 29, 2013 Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuelekea Fainali za mwaka 2014 nchini Brazil, ambako huko Ujerumani iliibuka bingwa kwa kuichapa Argentina 1-0 ndani ya dakika 120 bao la Mario Götze dakika ya 113 Uwanja wa Maracanã, Rio de Janeiro.
0 comments:
Post a Comment