Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akiifungia timu yake mpya, Juventus bao la kwanza leo dakika ya nane katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu yao ya vijana chini ya umri wa miaka 19 kabla ya kusababisha bao la kujifunga kwa wadogo zao hao katika ushindi wa 5-0. Mabao mengine yalifungwa na Paulo Dybala mawili na Claudio Marchisio. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 33 alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza timu hiyo iliyomnunua kutoka Real Madrid kwa dau la Pauni Milioni 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Paul's fight with Mike Tyson, 57, in Texas is officially sanctioned as
a professional fight with the result to go on both boxers' official records
-
Most Valuable Promotions said that the bout will be sanctioned by the Texas
Department of Licensing and Regulations with the two fighters competing in
14oz...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment