Mshambuliaji Raheem Sterling akifumua shuti dhidi ya wachezaji wa Arsenal, Matteo Guendouzi na Hector Bellerin kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la pili limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 64 na wote kwa pasi za Benjamin Mendy kocha mpya, Mspaniola Unai Emery akianza vibaya msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu baada ya kuchukua nafasi ya Mfaransa, Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CAF Confederation Cup: Dreams FC coach Karim Zito blames inexperience for
Zamalek defeat
-
Dreams FC coach, Abdul Karim Zito believes his team suffered from
inexperience during the 3-0 defeat to Zamalek in the semi-final of the CAF
Confederation ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment