Kiungo Mghana wa Simba, James Kotei (kulia) akizungumza na Kaimu Makamu Mwenyekiti, Iddi Kajuna leo mchana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) baada ya kuwasili wakitokea Afrika Kusini walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na msimu mpya
Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Omog (kushoto) na Msaidizi wake, Jackson Mayanja (kulia) wakiwasili
Kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto akiwaongoza wenzake baada ya kuwasili
Beki mpya, Yussuf Mlipili aliyesajiliwa kutoka Toto Africans akitoka na mzigo
'I'm back' - record-breaking Ronaldo answers critics
-
Portugal forward Cristiano Ronaldo provides the perfect response to those
that doubted him as he becomes the first player to score at six World Cups.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment