Marcelo akibusu taji la Super Cup la UEFA baada ya Real Madrid kuifunga Manchester United 2-1 Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II, Makedonski mjini Skopje, Macedonia. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 24 na Isco dakika ya 52, wakati la Man United limefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From retirement to records - another immortal Messi moment
-
Ten years after announcing he was quitting international football, Lionel
Messi is still breaking records for reigning World Cup champions Argentina.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment