Marcelo akibusu taji la Super Cup la UEFA baada ya Real Madrid kuifunga Manchester United 2-1 Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II, Makedonski mjini Skopje, Macedonia. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 24 na Isco dakika ya 52, wakati la Man United limefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment