Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
Jordon Hudson used her power as Bill Belichick's 'de facto agent' to muscle
her way into Super Bowl ad, ex-ESPN star claims
-
Belichick, 72, and Hudson have consistently made headlines since they made
their relationship public last summer, and it arguably reached its peak at
this ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment