Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment