Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
I want to industrialise Africa, not chase billions — Dangote
-
Africa's richest man and President of the Dangote Group, Aliko Dangote, has
said his greatest ambition is not to accumulate wealth but to leave a
lasting...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment