Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
Van Dijk wants to be part of Liverpool transition
-
Captain Virgil van Dijk says he "loves" Liverpool and wants to be part of
the club's transition after the departure of manager Jurgen Klopp.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment