Kiungo mpya wa Simba, Haruna Niyonzima akinywa maji wakati wa mapumziko mafupi kwenye mazoezi ya timu hiyo asubuhi ya leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga SC Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akinywa maji kwenye mazoezi hayo leo
Kipa mpya wa Simba kutoka Mtibwa Sugar, Said Mohammed akiwa kamili mazoezini leo
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment