• HABARI MPYA

    Tuesday, August 08, 2017

    MESSI, SUAREZ WOTE WAFUNGA BARCA YASHINDA 5-0 CAMP NOU

    Kipa wa Chapecoense ya Brazil, Elias Martello akidaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi anayelighasiwa pia na mabeki wa timu hiyo katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca ilishinda 5-0, mabao ya Gerard Deulofeu dakika ya sita, Sergio Busquets dakika ya 11, Messi dakika ya 28, Luis Suarez dakika ya 55 na Denis Suarez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI, SUAREZ WOTE WAFUNGA BARCA YASHINDA 5-0 CAMP NOU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top