Kipa wa Chapecoense ya Brazil, Elias Martello akidaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi anayelighasiwa pia na mabeki wa timu hiyo katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca ilishinda 5-0, mabao ya Gerard Deulofeu dakika ya sita, Sergio Busquets dakika ya 11, Messi dakika ya 28, Luis Suarez dakika ya 55 na Denis Suarez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment