Beki wa kati wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Manly Sea Eagles coach Anthony Seibold is fuming at the NRL after three
straight losses
-
Anthony Seibold has urged the NRL to reconsider its scheduling after
Manly's season was turned upside down by playing three games in 11 days
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment