Beki wa kati wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Infantino on the brink? Who might replace him if he goes?
-
Fifa president Gianni Infantino is in the eye of a storm after his attempt
to sell stakes in the World Cup. If he goes, who comes in?
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment