Beki wa kati wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘Make the right choice’: Man Utd legend sends cryptic message to on-loan
Red who’ll now return to Carrington
-
Manchester United legend Edwin van der Sar has encouraged Andre Onana to
‘make the right choice’ following the conclusion of his loan spell with
Trabzonspo...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment