Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 3-0 dhidinya Alaves kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine yamefungwa na Isco dakika ya 85 na Nacho dakika ya 88, wakati Cristiano Ronaldo naye alifunga dakika ya 54, lakini bao likakatalkiwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kano North Senate race: Yusuf resolves Barau-Gwarzo debacle
-
Kano Governor Abba Kabir Yusuf has resolved the APC dispute in Kano North
Senatorial District, with Hon. ATM Gwarzo withdrawing his ambition in
favour of...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment