Makamu wa Rais wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya klabu hiyo, Zacharia Hans Poppe (kulia) Uwanja wa Kaitaba, Bukoba leo wakati timu yao ikicheza na wenyeji Kagera Sugar na kufungwa 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Hans Poppe (kulia) na Kaburu kushoto hawakuamini kama Simba imefungwa na Kagera Sugar leo
Hapa sijui Kaburu anamuambia nini Hans Poppe anayesikiliza kwa makini
Hans Poppe anamjibu Kaburu hapa. Walijadiliana nini?
Kulia kabisa ni Katibu wa Chama Soka Kagera (KRFA), Salum Umande Chama ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment