Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akimtoka Nahodha wa Prisons, Benjamin Asukile katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ilishinda 1-0
Wachezaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) na Deus Kaseke (kushoto) wakimuacha chini mchezaji wa Prisons
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Prisons, Salum Kimenya
Mshambuliaji Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) akipambana na Lambert Sabiyanka wa Prisons
Haruna Niyonzima akimtoka Mohaammed Samatta jana Uwanja wa Sokoine
Mfungaji wa bao pekee la Yanga, Simon Msuva (kulia) akimtoka beki wa Prisons, James Mwasote
Wachezaji wa Prisons na Yanga wakiwania mpira wa juu
Refa akiwaondoa wachezaji wa Yanga waliomfuata kulalamikia jambo kwake
Kikosi cha Yanga jana katika mchezo uliokuwa wa vuta nikuvute
Kikosi cha Prisons katika mchezo wa jana Uwanja wa Sokoine
Saka shares north London derby memories
-
From watching the north London derby as a kid to scoring in the fixture for
the first time, Sunday’s game means more to Saka
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment