Winga wa Simba, Shizza Kichuya (kulia) akipiga mpira huku beki wa African Lyon, Hassan Isihaka akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Lyon ilishinda 1-0
Beki wa African Lyon, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiambaa na mpira pembezoni mwa Uwanja
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akiwatoka wachezaji wa African Lyon jana
Fundi wa mpira, Ibrahim Hajib Migomba kwa utashi wako ukipenda muite Cadabra (kulia) akimuacha chini beki wa Lyon, Hamad Manzi jana
Jonas Mkude, Nahodha wa Simba SC akimgeuza kiungo wa Lyon, Khalfan Twenye
Shizza Kichuya (kulia) akijivuta kupiga shuti mbele ya Hassan Isihaka
Beki wa African Lyon, Hamad Waziri (kulia) akimzuia beki wa Simba, Method Mwanjali
Kipa wa African Lyon, Rostand Youthe akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Laudit mavugo
Kikosi ch Simba kilichoweka rekodi ya kupoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu jana baada ya mechi 14
Kikosi cha Prisons kilichovunja rekodi mbili za Simba jana, nyavu kutoguswa katika mechi sita na kufungwa mechi ya kwanza ya Ligi Kuu jana
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
0 comments:
Post a Comment