Mshambuliaji wa Urenom Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Latvia kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia 3018 Urusi. Pamoja na kufunga mabao mawili moja kwa penalti, Ronaldo pia alikosa penalti wakati mabao mengine ya Ureno yalifungwa na William Carvalho na Bruno Alves wakati la Latvia lilifungwa na Arturs Zjuzins PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Trade Rumors: Bucks' Giannis Discussed by Teams with Stockpile of NBA
Draft Picks
-
The Milwaukee Bucks haven't yet been eliminated from the 2024 NBA playoffs,
but the sharks might already be starting to circle. ESPN's Tim MacMahon
reported…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment