Winga mwenye umri wa miaka 32 wa Bayern Munich, Arjen Robben akimtungua kipa Ralph Schon wa Luxembourg kuifungia Uholanzi bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi Uwanja wa Josy Barthel mjini Luxembourg. Mabao mengine ya Uholanzi yote yalifungwa na Memphis Depay, wakati la Luxembourg lilifungwa na Maxime Chanot kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Trade Rumors: Bucks' Giannis Discussed by Teams with Stockpile of NBA
Draft Picks
-
The Milwaukee Bucks haven't yet been eliminated from the 2024 NBA playoffs,
but the sharks might already be starting to circle. ESPN's Tim MacMahon
reported…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment