Winga mwenye umri wa miaka 32 wa Bayern Munich, Arjen Robben akimtungua kipa Ralph Schon wa Luxembourg kuifungia Uholanzi bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi Uwanja wa Josy Barthel mjini Luxembourg. Mabao mengine ya Uholanzi yote yalifungwa na Memphis Depay, wakati la Luxembourg lilifungwa na Maxime Chanot kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment