Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi ikiilaza Ludogorets 3-2 katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifunga na Granit Xhaka na Ilivier Giroud, wakati ya Ludogorets yalifungwa na Jonathan Cafu na Claudiu Keseru PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 NFL Draft: Penn State QB Drew Allar goes to Steelers as possible Aaron
Rodgers heir
-
Drew Allar played in six games last season due to an ankle injury.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment