Wachezaji wa Manchester City, kiungo David Silva (kushoto) na beki John Stones (katikati) wakifurahia wakati wanaungana na Kevin De Bruyne (kulia) kushngilia naye wakati wa mechi ya Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona ya Hispania usiku huu Uwanja wa Etihad. Mabao ya City yalifungwa na Ilkay Gundogan mawili na Kevin De Bruyne moja, wakati la Man City lilifungwa na Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How can I watch West Ham v City on TV?
-
Find out how you can watch City’s Premier League encounter with West Ham
from wherever you are in the world.Our attention turns back to the league
as we fa...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment