Wachezaji wa Manchester City, kiungo David Silva (kushoto) na beki John Stones (katikati) wakifurahia wakati wanaungana na Kevin De Bruyne (kulia) kushngilia naye wakati wa mechi ya Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona ya Hispania usiku huu Uwanja wa Etihad. Mabao ya City yalifungwa na Ilkay Gundogan mawili na Kevin De Bruyne moja, wakati la Man City lilifungwa na Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BMW iX3 review: Electric SUV with 500-mile range marks new era
-
Neue Klasse technology, 800-volt charging and impressive efficiency make
this model one of the most advanced electric SUVs yet
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment