Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Robert Lewandowski wa tatu baada ya kuwafungia mabao yote katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya PSV ya Uholanzi kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la PSV lilifungwa na Santiago Arias na kwa ushindi huo Bayern inakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment