Mshambuliaji wa Fenerbahce, Moussa Sow akibinuka tik tak katikati ya mabeki wa kati wa Manchester United, Marcos Rojo na Daley Blind kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 leo kwenye mchezo wa Kundi A Europa League Uwanja wa Ulker Fenerbahçe Sukru Saracoglu Spor Kompleksi mjini İstanbul, Uturuki. Bao lingine la Fenerbahce lilifungwa na Jeremain Lens wakati la Man United lilifungwa na Nahodha, Wayne Rooney PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spurs lacked belief and conviction - Postecoglou
-
Ange Postecoglou says Tottenham lacked "belief and conviction" as their
Champions League hopes were hit by defeat at Chelsea.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment