Mshambuliaji wa Fenerbahce, Moussa Sow akibinuka tik tak katikati ya mabeki wa kati wa Manchester United, Marcos Rojo na Daley Blind kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 leo kwenye mchezo wa Kundi A Europa League Uwanja wa Ulker Fenerbahçe Sukru Saracoglu Spor Kompleksi mjini İstanbul, Uturuki. Bao lingine la Fenerbahce lilifungwa na Jeremain Lens wakati la Man United lilifungwa na Nahodha, Wayne Rooney PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colombia qualify for last 32 with win over DR Congo
-
Daniel Munoz's deflected strike is enough for Colombia to beat DR Congo and
secure their place in the 2026 World Cup knockout stage.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment