Wachezaji wa Liverpool wakishangilia ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Watford leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 27 na 60, Philippe Coutinho dakika ya 30, Emre Can dakika ya 43, Roberto Firmino dakika ya 57 na Georginio Wijnaldum dakika ya 91, wakati la Watford lilifungwa na Daryl Janmaat dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Noni Madueke's energy sparked Chelsea's comeback while
Mykhailo Mudryk continued to frustrate... but which Blues defender had a
WORSE night with a 5/10 display?
-
Chelsea saw a last-gasp winner ruled out as they staged a second-half
fightback at Aston Villa to salvage a point. Mail Sport's DAN DAVIS has
rated the pla...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment