Wachezaji wa Liverpool wakishangilia ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Watford leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 27 na 60, Philippe Coutinho dakika ya 30, Emre Can dakika ya 43, Roberto Firmino dakika ya 57 na Georginio Wijnaldum dakika ya 91, wakati la Watford lilifungwa na Daryl Janmaat dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment