Wachezaji wa Liverpool wakishangilia ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Watford leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 27 na 60, Philippe Coutinho dakika ya 30, Emre Can dakika ya 43, Roberto Firmino dakika ya 57 na Georginio Wijnaldum dakika ya 91, wakati la Watford lilifungwa na Daryl Janmaat dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'The conflict which shows up F1's best and worst sides'
-
The three most successful drivers in Formula 1 sum up the conflict and
paradox at the heart of the sport's new look after a Chinese Grand Prix.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment