Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akimtoka Mousa Dembele wa Tottenham Hotspur (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Harry Kane akiisawazishia Spurs kwa penalti dakika ya 51 baada ya after Laurent Koscielny kumchezea rafu Mousa Dembele kufuatia Kevin Wimmer kuanza kujifunga dakika ya 42 kuipatia Arsenal bao la kuongoza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak coach provides update on Glid Otanga ahead of Berekum Chelsea
clash following nose injury
-
Hearts of Oak assistant coach Abdul Rahim Bashiru has provided an update on
midfielder Glid Otanga's injury following a collision in their recent match
aga...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment