Zlatan Ibrahimovic akishangilia kwa mapigo ya teke la Kung Fu huku wachezaji wenzake, Juan Mata na Phil Jones wakimuangalia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 21 na 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City Uwanja wa Liberty. Bao lingine la United lilifungwa na Paul Pogba dakika ya 15, wakati la Swansea lilifungwa na Mike van der Hoorn dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United vs Burnley - Premier League: Live score,
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest scores, team news and updates
from around the Premier League grounds on Saturday, including Manchester
United ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment