Zlatan Ibrahimovic akishangilia kwa mapigo ya teke la Kung Fu huku wachezaji wenzake, Juan Mata na Phil Jones wakimuangalia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 21 na 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City Uwanja wa Liberty. Bao lingine la United lilifungwa na Paul Pogba dakika ya 15, wakati la Swansea lilifungwa na Mike van der Hoorn dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'The conflict which shows up F1's best and worst sides'
-
The three most successful drivers in Formula 1 sum up the conflict and
paradox at the heart of the sport's new look after a Chinese Grand Prix.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment