Nacho Monreal (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza Hispania dakika ya 84 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Macedonia usiku wa jana katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Nuevo Los Carmenes mjini Granada. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Darko Velskoski aliyejiunga dakika ya 34, Vitolo dakika ya 63 na Aritz Aduriz dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment