Nacho Monreal (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza Hispania dakika ya 84 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Macedonia usiku wa jana katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Nuevo Los Carmenes mjini Granada. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Darko Velskoski aliyejiunga dakika ya 34, Vitolo dakika ya 63 na Aritz Aduriz dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Russell Crowe's Souths 'power struggle' with Aussie tech billionaire
as Hollywood star's club battles its biggest drama in 20 years
-
The Gladiator star was hailed for rescuing the team and helping lead it to
grand final glory after he took control in 2006 - but recent events show
his inf...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment