Winga wa Wales, Gareth Bale akirusha mpira katika mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Serbia usiku wa jana Uwanja wa Cardiff City mjini Cardiff. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1Bale akitangulia kuifungia Wales dakika ya 30 kabla ya Aleksandar Mitrovic kuisawazishia Serbia dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment