Andrea Belotti (katikati) akimpiga tobo kipa wa Liechtenstein kuifungia Italia katika ushindi wa 4-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi. Belloti aalifunga mabao mawili, huku mengine yakifungwa na Antonio Candreva naa Circo Immobile PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment