Nahodha wa Real Madrid katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne usiku dhidi ya Lagia Warsaw ya Poland Uwanja wa Santiago Bernabeu, Marcelo akishangilia baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 5-1. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Marco Asensio, Lucas Vazquez na Alvaro Morato, wakati la wageni lilifungwa na Miroslav Radovic kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Danilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal wonderkid 'attempted to force tenants out by peering through
living room blinds and moving in with his family' - as he is accused in
court of making their lives 'hell'
-
McGregor, who moved into the home with her mum, Fay, revealed the former
Arsenal wonderkid, who was present in court, had made her life 'hell'.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment