Nahodha wa Real Madrid katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne usiku dhidi ya Lagia Warsaw ya Poland Uwanja wa Santiago Bernabeu, Marcelo akishangilia baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 5-1. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Marco Asensio, Lucas Vazquez na Alvaro Morato, wakati la wageni lilifungwa na Miroslav Radovic kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Danilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Beware, England! Imperious Mexico set up daunting
potential last-16 showdown against Three Lions, Kylian Mbappe breaks
ANOTHER record, match highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 20 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment