Nahodha wa Real Madrid katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne usiku dhidi ya Lagia Warsaw ya Poland Uwanja wa Santiago Bernabeu, Marcelo akishangilia baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 5-1. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Marco Asensio, Lucas Vazquez na Alvaro Morato, wakati la wageni lilifungwa na Miroslav Radovic kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Danilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment