Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji, Sporting Lisbon ya Ureno katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Julian Weigl wakati la wenyeji lilifungwa na Bruno Cesar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fears over state police justified – Sheikh Gumi
-
Islamic cleric, Sheikh Ahmad Gumi said the fears expressed by critics of
state police were justified.
The post Fears over state police justified – Sheikh...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment