Kocha wa Yanga, Tambwe Leya (kushoto), raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akimkabidhi Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mangara Tarbu (wote sasa marehemu) Kombe la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati walilolitwaa mwaka 1975 visiwani Zanzibar kwa kuwafunga watani, Simba SC 2-0 kwenye fainali Uwanja wa Amaan. Mzee Mangara anapewa heshima ya Mwenyekiti bora kuwahi kutokea Yanga, kutokana na namna alivyoifanyia mambo makubwa klabu
LIVERPOOL CONFIDENTIAL: Arne Slot's former assistant REJECTS chance to join
his Anfield staff as new manager's brother reveals how he was coaching 'top
level stuff' at just 14!
-
LEWIS STEELE: The Reds negotiations for Slot were relatively smooth but any
hiccups were down to the number of staff the Dutchman brought with him from
Fey...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment