Mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake dakika ya 90 na ushei ikiilaza 2-1 Armenia katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Narodowy, Warszawa. Hrayr Mkoyan alijifunga dakika ya 48 kuipatia Poland bao la kwanza, wakati bao la Armenia lilifungwa na Marcos Pizzelli dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction, Highlights Before
Backlash
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on May 3. This
week's show took place in Lyon, France, which is also where Saturday's
Backlash ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment