Mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake dakika ya 90 na ushei ikiilaza 2-1 Armenia katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Narodowy, Warszawa. Hrayr Mkoyan alijifunga dakika ya 48 kuipatia Poland bao la kwanza, wakati bao la Armenia lilifungwa na Marcos Pizzelli dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather's US passport is set to be REVOKED over $7m tax debt
-
Mayweather, who earned more than $1bn over the course of his boxing career,
has been notified by the IRS of its intention to take his papers over an
unreso...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment