Mshambuliaji Mcolombia wa Mainz ya Ujerumani, Jhon Cordoba akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Joel Matip kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 44 katika ushindi wa 4-0 Uwanja wa Opel Arena. Mabao mengine ya Mainz yalifungwa na Daniel Brosinski dakika ya 15 kwa penalti, Yunus Malli dakika ya na Yoshinori Muto dakika ya katika mchezo uliofanyika siku moja baada ya Liverpool kuifunga Barcelona 4-0 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manitoba shuts down landfill search site, crews still looking for victim at
another
-
WINNIPEG — The Manitoba government has officially decommissioned the search
site at a Winnipeg-area landfill where the remains of two slain First
Nations w...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment