Kiungo Victor Wanyama wa Tottenham akiwapandia juu wachezaji wenzake kushangilia na Danny Rose aliyeifungia timu yao bao la kusawazisha dakika ya 72 katika sare ya 1-1 na Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la Liverpool lilifungwa na James Milner kwa penalti bada ya Erik Lamela kuchezewa rafu Roberto Firmino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal vs Chelsea - Premier League: Live score, team news and updates as
Mikel Arteta's side can stretch their lead at the top of the Premier League
to three points with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Arsenal host Chelsea in Premier League action.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment