Kiungo Victor Wanyama wa Tottenham akiwapandia juu wachezaji wenzake kushangilia na Danny Rose aliyeifungia timu yao bao la kusawazisha dakika ya 72 katika sare ya 1-1 na Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la Liverpool lilifungwa na James Milner kwa penalti bada ya Erik Lamela kuchezewa rafu Roberto Firmino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bennacer flies out for new job in Qatar after Milan terminate contract
-
Ismael Bennacer’s time at Milan is finally over after confirmation his
contract was terminated, allowing him to fly out to join Al-Gharafa in the
Qatar Sta...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment