Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu ikishinda 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Santi Cazorla kwa penalti na Alexis Sanchez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Borno: How abductors killed my husband, molested me – Rescued victims
recount ordeal
-
Freed captives from Ngoshe community in Gwoza Local Government Area of
Borno State have recounted the pain, abuse and deprivation they suffered
during mo...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment