Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu ikishinda 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Santi Cazorla kwa penalti na Alexis Sanchez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Insecurity: Self-defence inevitable, says Catholic communicators
-
Catholic Communicators in Nigeria under the auspices of SIGNIS have
condemned the incessant killings of priests and other Nigerians by bandits,
kidnapper...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni